MWANAMITINDO FLAVIANA ....aliyekuwa anasherehekea siku yake ya kuzaliwa jana....alikuwa Rose Garden alikopita kwa ajili ya lunch ...kitu cha makange
![]() |
| UNYAYOOOOOO |
ALIKUWA SAMBAMBA NA DA KHHADIJA
Naaaambiwa coffee ilinywewa Double Tree na baadae Mafian Fish Lounge....ambako nambiwa cake kadhaa zilitua kutoka sehemu tofauti....pale mtoko unapokuwa wa mshtuo hadi mnashtuana wenyewe ;)





No comments:
Post a Comment