Bi harusi unaonaaa...unatakiwa ufanye hiviiiii.....wink
HAWA wazungu sijui ni Mashemeji zetu toka Denmark....niliwakuta wameshaingiaaa
Ukiambiwa Mwanamke Nyonga makalio majaaliwa muamini nilijionea kwa huyu mama...wish ningekuwa na moving camera....lol
Watoto wa Muji kasoro Bahari tuliwakilishwa na Mama MONO accesories, Fina Bi harusi wangu na Elizabeth Kobelo
watu walikuwa kama wako kwenye TRENI....mara hujakaa sawa Sambusa, mikate, supu, ukiingia kungu...tukamalizwa nahilo jisupu....ndo milo ya kibao kata hiyo
Tashtiti za Asuminiiiimambo ya Mwambao haya
RED CARPET
Ah Bilal Hassan Seduction! Seduction!
We Sanura weee all ze way from DENMARK....hi sharifaaa umemiss Mama eee?!!!
0 comments:
Post a Comment