 |
| KIBANDIKO MMEKIONA.....mama Duck upo :) |
 |
| JIUGONJWAAA |
 |
| MAPAMBO...shurti kuna picha za maharusi pembezoni |
 |
| JIUAAAA |
 |
| wow!! naona vail ilikuwa sambamba na kibandiko sio lazima cha kuangukia mgongoni wapopo wanaswaga | | | |
|
|
|
|
|
|
|
 |
| MMEWAONA WASIMAMIZI SARE KUANZIA KIATU...NIMEGUSWA NA RANGI YA HARUSI....matron mmemchungulia? ana kimini chake swaafi na si mburuzo |
 |
KIMILA...ZAIDI .....hawa naona kwenye mila wamevaa nguo zaidi ya 3 tofauti itabidi nitafute shost waKinigeria anialike....:( nihudhurie hizi sherehe zao nahisi zinanoga saaana....
| |
|
Mnaikumbuka hii sare 'asoebi'...niliitoa kwenye
Red carpet basi mambo yale yalikuwa kwenye harusi hii
PICHA:: THANKS TO BELLANAIJA
0 comments:
Post a Comment