ANAOMBA MSAADA WENU

mambo shamim?! pole na majukumu ya kila siku ya maisha.
mi ni mpenzi mzuri wa blog yako na navutiwa na kazi zako kwa ujumla.
sasa dada yangu nilikua nahitaji msaada wako, nimekuwa nasumbuliwa na muwasho ambao unaambatana na kutokwa na uchafu mweupe kwenye vagina 4 a week now. mwanzo nilidhani ni infection nimeipata kutokana na ma2mizi ya pad ambazo nimeanza kuzitumia recently lakini naona kama tatizo linaendelea. nime2mia sabuni ya protex  na antiseptic/hygene powder ili iuwe bacteria kama ndo wanao niletea haya matatzo lakini wap, tatizo lipo palepale.
nilikua naomba ushauri wako ni2mie dawa za aina gani ile nipone kwasababu nakosa raha.
nategemea jibu na ushauri mzuri toka kwako na kwa yeyote yule atakaenishauri.
 ni mimi J

"DADA MIE NAONA HII IMEKAA KIHOSPITAL ZAIDI, ITAKUWA NI FUNGAS kaonane na DR, Ni kawaida tu kwa watoto wakike,kutoka na kutumia vyoo vya jumuiya."
zeze


2 comments:

. said...

Ushuhuda

Nilivunjika moyo kabisa uhusiano wangu ulipoisha. Niliamini kweli kwamba nilikuwa nimepoteza mpenzi wa maisha yangu milele. Kisha nikampata Dkt. Dawn, na kila kitu kikabadilika.
Kwa wema, hekima, na mwongozo wenye nguvu, alirudisha upendo niliodhani ulikuwa umetoweka. Leo, tuna furaha zaidi kuliko hapo awali!
Dkt. Dawn aligeuza machozi yangu kuwa furaha kweli.

Dkt. Dawn Anaweza Kukusaidia Kwa:

✅ Uchawi wa Mapenzi
✅ Uchawi wa Mimba
✅ Kurejesha Ndoa / Uhusiano
✅ Tiba za Mimea kwa VVU, Ugonjwa wa Figo, Matatizo ya Moyo, Maambukizi, na zaidi

📧 Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com
📞 Simu/WhatsApp: +2349046229159

Usiteseke kimya kimya. Dkt. Dawn anaweza kurudisha furaha maishani mwako!

. said...

Nilikuwa nikikabiliwa na mapambano mengi maishani mwangu, nikiwa nimezungukwa na nguvu mbaya na bila msaada kutoka kwa mtu yeyote. Kisha nikakutana na Dkt. Dawn, ambaye alinitambulisha kwa Illuminati. Baada ya kuanzishwa kwangu, nilipokea bonasi ya kukaribishwa ya $300,000, na tangu wakati huo, nimeendelea kupokea baraka zaidi.

Leo, mimi ni tajiri kweli na ninamshukuru Dkt. Dawn kwa kubadilisha maisha yangu.

Ikiwa kuna mtu yeyote hapa ana nia ya kujiunga na Illuminati, unaweza kuwasiliana na Dkt. Dawn kwa ajili ya kuanzishwa haraka na kwa kweli — hakuna dhabihu ya kibinadamu inayohusika.

WhatsApp: [ +2349046229159 ]

Post a Comment