CHRISPIN & REZA WEDDIND!!

GROOM::CHRISPINE

BRIDE::REZA

COLOR::GOLD,IVORY & CHAMPAGNE

VENUE::MLIMANI CITY






YAM YAM....MAMBO YA NDAFUUU ...haya NAJUA ORIGINI YA NDAFU NI WACHAGA JAPO SIKU HZI KILA MTU ANAWEKA NDAFU....MWENYE KUJUA MAANA YA NDAFU ATUJUZE JAMANI NA INA MAANA GANI KATIKA HIZI SHEREHE.

Licha ya NDAFU NA KAJIUGONJWA KANGU PIA KALIKUWEPOOOOOO

wow!!! wamependezaa watoto......i cant wait my iqra nae akue hadi vya kusimamia harusi





23 comments:

Anonymous said...

duh kuna wanawake wazuri huku duniani acheni tu yani she is cute na wamependeza kwakweli halafu boobs zake zimekaa fresh, hongera bidada u made it

neema said...

crispine huyu wa Muhimbili Primary au jamani mmependeza sana hongera kaka tulisoma wote primary.

tayana said...

wamependeza ila hiyo aliyopaka juu ya kope sijui yaitwa nini hapana...otherwise nice wedding

Anonymous said...

jamani hongereni....i know the couple wote wamesoma st.marys mbezi...all the best wapenzi.

Anonymous said...

Harusi ni bomba sana na wamependeza sana hawa maarusi zeze ningependa kujua hii nguo yake amenunua wapi au kama kuna mtu yoyote mwenye ideal ya maduka ya nguo za ukweli na za kisasa za harusi tafadhali anisaidie

Ruky said...

Wamependeza sana. bride mashallah

Anonymous said...

harusi nzuri sana...looking gud guys...huyo ni ursula kinabo in silver dress??i like your dress mpenzi..

Anonymous said...

I think she bought her dress in Finland but u can always look online for wedding dresseses or designs...I think they all luk gud..n wow n ivory weddin..u pipo ur really stylist

Anonymous said...

u guyz luk fabolous...its just big WOW...u killed it wit Ivory...tick 4 tht

Anonymous said...

the wedding color was nice and rich...grooms and maids look fabs..ursula nice dress...mguu mamaa

Anonymous said...

Mmependeza sana na hongera napenda sana gold ila sheddo zimezidi bi harusi jamani.....

Anonymous said...

ZEZE SI UNAONA NGUO ZA RED MADE KUCHEMSHA NI MARA CHACHE SASA , HII SHELA YAKE NI BOMBAAA HAIJAKAA KIBONGOBONGO JAMANI TUSEME UKWELI ILA MAKE UP ALIZIDISHA KIDOGO MACHONI VINGINE WOWO BRAVOOOOOOOOOOOOO

Anonymous said...

keki yake bomba sana just oneline inatosha sio mangazi mara separation sijui ngapi hata haipendezi wka kweli look at this !!!great choice briliant colors love it!!!!!!!!

Anonymous said...

kwa kweli wamependeza lakini??? mashedo kwenye macho yamezidi,jinsi alivyo mrembo angeweka kwa mbali ama kiduchu tuu angezidi kuwa mwaaah.. otherwise nimeipenda ile mbaya.

Anonymous said...

beautifull couple, the wedding imependeza,very classy.all the best reza and crispin

Anonymous said...

The best wedding ever,,,color,decoration, beautiful people,everything was on point!
Hongereni maarusi,,that was a classy wedding!

Anonymous said...

kweli mmependeza sana ndoa yenu idumu kwa rehema za mungu, shamim eeh wenzunu wachaga enzi hizoo wkati wa arusi kipaimara tulikuwaga hatunaga desturi ya kuwa na maugonjwa aka keki ati ndafu ndo ilikuwaga ugonjwa ati keki tena utasikia sasa umefika ule wakati wa kukata keki lol acha tu kwenye arusi ya my sister ati sasa binti ataenda kukata keki na atawalisha wakwe zake duh! kifupi ndafu ni keki ya wachaga sema siku hizi tumecharuka ndafu maugonjwa mumo kwa mumo

Anonymous said...

maharusi wamependeza ila wasimamizi wa kike wanaleta utani manake wavulana/wanaume wamependeza, matron kapendeza na hata watoto wamependeza.

Anonymous said...

kuna mtu kasema hayo ya machoni hapana kwa kweli,ulitaka apake nini kama sio gold?bora kama ungesema yamezidi kama walivyosema wengine,

mdadafada said...

this is classic, very nice. maharusi wamependeza na harusi kweli ya ukweli, safi sana. haina yale ma complication ya kibongo kibongo, classic!
hongereni sana.

mdadafada

Anonymous said...

hope mzima wa afya zeze tuwekee basi picha zako za harusi tuone ulivyokuwa modo maana najua za harusi utakuwa ulikuwa sliiiiiiiiiim kidogo.

Anonymous said...

Bibi harusi representing wapare..nice wedding Kinabo we were in the same class Muhimbili primary

Anonymous said...

harusi ni nzuri sana, namwona mama lulu kiluvia hapo na blue, umechana siku hizi shosti, wala nini yaheeee?

Blog Widget by LinkWithin

0 comments:

Post a Comment